Mfumo wa taarifa za uhasibu katika mashirika yasiyo ya faida
Lengo la utafiti
Lengo la utafiti huu ni kukusanya taarifa kuhusu mfumo wa taarifa za uhasibu katika mashirika yasiyo ya faida na jinsi unavyoathiri ufanisi wa usimamizi, uwazi wa kifedha, udhibiti wa ndani, na kusaidia katika kufanya maamuzi ya kifedha. Majibu yatatumika kwa madhumuni ya utafiti wa kitaaluma pekee na vitambulisho vya washiriki havitatolewa.
Maelekezo
Tafadhaliweka alama (✓) mbele ya chaguo linaloonesha maoni yako kuhusu kila kauli kwa kutumia kipimo kifuatacho: 1 = Nakubaliana | 2 = Kati | 3 = Sikubaliani.