Matumizi ya akili bandia katika biashara mtandao
Habari,
Mimi ni mwanafunzi na ninafanya utafiti kwa ajili ya kazi yangu ya chuo. Mada ya utafiti ni matumizi ya akili bandia katika biashara mtandao. Nitashukuru sana kama utaweza kuchukua dakika chache kujaza dodoso hili. Majibu yako ni ya siri na yatatumika tu kwa malengo ya kisayansi.
Asante kwa muda wako!