Uhalifu wa mtandao na faragha

Tufanyeje ili kujihisi salama mtandaoni?

  1. mazungumzo
  2. usitume picha zako za uchi kwa wanaume wageni.
  3. tunapaswa kujaribu kuficha au kutokuonyesha utambulisho wetu.
  4. usiweke mambo binafsi mtandaoni.
  5. hatuna chochote cha kufanya, kwa sababu intaneti iko kila mahali na wanatukandamiza.