Usalama wa Habari

Utafiti
Matokeo ya maswali yanapatikana hadharani

Ni anti virus gani unayotumia?

Ni lini mara ya mwisho kompyuta yako ilipokuwa na hitilafu?

Je, unafanya uchunguzi mara ngapi (uchunguzi wa virusi, kuanzisha upya diski nk)?

Je, unaangalia sera ya tovuti hizo ulizotembelea?

Je, unaangalia sera ya faragha ya tovuti hizo za mitandao ya kijamii (mfano. facebook)?

Je, unabadili chaguo la sera ya faragha ili kulinda taarifa zako?

Je, unajua kwamba kuingia kwenye tovuti haramu kunongeza nafasi ya kupata virusi/malware?

Unatarajia kupata nini ukitembelea tovuti zetu?