Utafiti wa Mahitaji ya Kituo cha Msaada wa Mapema na Elimu Shirikishi
Wazazi/walezi wapendwa,
Kwa utafiti huu tunakusudia kubaini kama kuna mahitaji ya kituo cha msaada wa mapema na elimu shirikishi kwa watoto wenye changamoto za mendeleo, lugha, mawasiliano, umakini, tabia, udhibiti wa hisia au matatizo ya hisia.
Kituo kinachopangwa kinaweza kutoa huduma za elimu za makundi madogo, mtaalamu wa lugha, mwalimu maalum, mtaalamu wa saikolojia, ushirikishaji wa hisia, tiba ya mwili na ushauri kwa wazazi.
Utafiti huu ni wa siri. Majibu yenu yatatumiwa tu kwa ajili ya kutathmini mahitaji ya mradi na kubainisha uwezekano wa msaada wa kifedha.