Utoaji wa Elimu Baada ya Shule (kwa wanafunzi)

Ni vizuwizi gani vikuu ambavyo vitakuzuia kuanza kozi?

  1. kizuizi cha kifedha, ukosefu wa hamu
  2. nadharia nyingi sana
  3. sijui jinsi itakavyokuwa na msaada kwa kazi yangu.
  4. matarajio madogo ya ajira baada ya masomo
  5. ukosefu wa kujiamini
  6. -
  7. wasiwasi
  8. mahali ambapo kozi iko - usafiri na malazi
  9. kutokuwa na sifa sahihi
  10. kutokuwa na uelewa kamili wa maudhui ya kozi.